Familia ya kijana Elvis Pemba ambaye kifo chake kina utata, imedai kuna ofisa wa Jeshi la Polisi mkoani Songwe amehusika ...
Jumuiya ya Ulaya (EU) imetoa ufadhili wa zaidi ya Sh17. 8 bilioni kwa asasi za kiraia 11 nchini Tanzania, kwa lengo la kukuza demokrasia kwa kujenga jamii yenye uwazi, haki, na ujumuishi ...
Watalaamu hao wamesema nchi za Afrika zinahitaji kuweka mkakati madhubuti wa kuongeza thamani kwa bidhaa, kuimarisha ...
Majeruhi hao wanaume ni wawili na mwanamke ni mmoja ambao wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Leo Februari 14,2025, ikiwa ni siku rasmi ya kufunguliwa kwa Tamasha la muzuki la Sauti za Busara 2025, Ngome Kongwe, Stone ...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekimbizwa hospitali leo Ijumaa kutokana na ugonjwa wa mapafu, na atalazimika kusitisha matukio kadhaa yaliyoratibiwa kwa siku tatu ...
Akizungumza wakati wa ufunguzi huo Journey amesema kauli mbiu ya mwaka huu ni kupaza sauti kwa ajili ya amani duniani. Hiyo ikiwa ni kutokana machafuko ambayo yametokea ulimwenguni ...
Polisi nchini Kenya wamewatia mbaroni watu wanne wakiwamo raia wawili wa kigeni, wakiwatuhumu kutoa shahada za uzamili (master’s degree) na Shahada ya Uzamivu (PhD) ya heshima wakiwa hotelini... Hii ...
Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kujipanga kudai mabadiliko ya mfumo wa ...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekimbizwa hospitali leo Ijumaa kutokana na ugonjwa wa mapafu, na ...
Familia ya kijana Elvis Pemba ambaye kifo chake kina utata, imedai kuna ofisa wa Jeshi la Polisi mkoani Songwe amehusika ...